Msanii Galatone ameweka wazi kuwa alishawahi kwenda kwa wa
Waganga wengi wa kienyeji ili afanikiwe kwenye sanaa ya muziki
anayoifanya.,
Galatone amesema ilifika kipindi alichoka katika harakati za
kuuhangaikia muziki ndipo ikamlazimu kuingia katika nguvu za giza.“Nimefanya sana nimeenda kwa Waganga maana kuna kipindi nilichoka
kabisa nkasema acha nikajaribu, nshavunja nazi, kuchinja kuku na kila
kitu yani ili tu nitoboe kwenye game,” alisema.Galatone amekiri kuwa hakupata chochote na wala hakuona mabadiliko
yoyote ndipo akaamua kuachana na mambo hayo na kumtegemeea Mungu tu.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment