May 09, 2016


barnabas
Msanii wa muziki, mwandishi na mtayarishaji wa muziki, Barnaba Classic ameifunga studio yake ya ‘High Table Sound’ kwa ajili ya matengenezo.
Akizungumza na Bongo5, Barnaba amesema aliamua kuifunga studio hiyo kwa muda ili kufanya ukarabati ambao amedai utaibua ufanisi wa kazi.
“Kweli studio imefungwa kwa wiki mbili hadi tatu kwa ajili ya matengenezo kidogo, naipanua zaidi, kuna baadhi ya vitu ambavyo naongeza, kwa hiyo nadhani baada ya wiki moja itaifungua tena,” alisema Barnaba.
Barnaba amesema ukarabati ya studio hiyo utaibua ubora wa kazi ambazo zinazalishwa katika studio hiyo.

Related Posts:

  • WhatsApp yaanzisha huduma ya kupiga simu Mtandao wa kijamii wa whatsapp unautumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, umeanzisha uduma mpya ya kupiga na kupokea simu Awali mtandao huo ulikua na huduma za kawaida za kutuma ujumbe, video, picha au kurekodi sauti. Kwas… Read More
  • Kenyatta atangaza siku tatu za maombolezo Kenya Rais Uhuru Kenyatta Wa Kenya ametangaza siku 3 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Chuo Kikuu cha Garissa lililoua karibu watu 150. Akilihutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi… Read More
  • Christian Bella Kuleta Mapinduzi ya Muziki wa Dance Inchini Tanzania Mfalme wa Masauti Christian Bella ameachia Track yake mpya Nashindwa Audio pamoja na Video, Audio ya wimbo huo imefanywa chini ya Studio za Combination sound chini ya Producer man Walter na Video imefanyika Africa ya Kusini … Read More
  • Al-Shabab watishia kuishambulia tena Kenya Kundi la wanamgambo wa al-Shabab wa Somalia limetishia kuishambulia tena Kenya na kusisitiza kwamba, Wakenya watakabaliwa na vita vya muda mrefu na vya kutisha. Taarifa ya wanamgambo wa al-Shabab imebainisha kwamba, muda sio… Read More
  • Suma Lee aacha muziki Msanii aliyefanya vizuri na single ya ‘Hakunaga’, Suma Lee amesema hatofanya tena muziki kwa sababu ameachana kabisa na maisha hayo. Suma ambaye alitengeneza pesa nyingi kupitia hit yake ya ‘Hakunaga’… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE