

Taarifa zilizotufikia ni kwamba Basi
la Abiria la kampuni ya TAHMEED linalofanya safari zake kati ya Tanga
Na Dar es salaam limeteketea kwa.moto katika barabara ya chalinze segera
Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa kutokana na ajali hiyo lakini mizigo ya abiria ndiyo imeteketea ndani ya basi hilo.
Ajali imetokea wakati basi hilo limesimama baada ya abiria mmoja kuomba msaada akajisaidie na ndipo abiria waliokuwamo ndani ya gari alianza kusikia harufu ya moshi wa tairi linaloungua na ndipo wakatoka nje ya gari wote na muda mfupi gari lote likashika moto.
Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa kutokana na ajali hiyo lakini mizigo ya abiria ndiyo imeteketea ndani ya basi hilo.
Ajali imetokea wakati basi hilo limesimama baada ya abiria mmoja kuomba msaada akajisaidie na ndipo abiria waliokuwamo ndani ya gari alianza kusikia harufu ya moshi wa tairi linaloungua na ndipo wakatoka nje ya gari wote na muda mfupi gari lote likashika moto.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment