June 20, 2016

 

Zile picha zilizokuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiwahusisha Diamond na P.Square zilizokuwa zikizua maswali mengi, sasa ukweli wake umejulikana. Diamond Platnum toka nchini Tanzania anatarajia kuachia wimbo wake mpya hivi punde aliofanya na wakali hao toka nchini Nigeria. Diamond ameandika kwenye ukurasa wake facebook na mtandao huu ukaunyaka ujumbe ule na kukuletea hapo ulipo.


Related Posts:

  • VIDEO/ TANZANIA ALL STARS - TUULINDE (oficiall video) Kwa nguvu waliyonayo na urahisi wa kuwafikia Watanzania wengi, Wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya waliamua kufanya tukio la kihistoria na kuungana kuimba wimbo wa miaka 50 ya Tanzania. President wa Jamuhuri ya… Read More
  • NEW MUSIC/ NAVY KENZO - AIYOLA Dizaini Nah Reel alikuwa akimuimbisha Aika na kumuuliza mbona unachelewa chelewa..Baada ya kuoana sasa (ki mashairi) leo hii wametoka na wimbo wao unaozungumzia maisha baada ya ndoa. ambapo wawili wanakuwa wanapeana moy… Read More
  • WAKUU WA POLISI KUFUTWA KAZINAIROBI.   Inspekta wa polisi Kenya, David Kimaiyo Idara ya polisi nchini Kenya imefanya mabadiliko ya dharura katika afisi kuu za Kaunti ya Lamu, kutokana na mashambulio yaliyosababisha vifo vya watu 60… Read More
  • ADELE KUFUNGIWA VIDEO YAKE YOUTUBE Mtandao wa YouTube unatarajia kuondoa Video za wanamuziki Adele, Arctic Monkeys na Radiohead, kutokana na lebo za muziki walizopo kukataa kukubaliana na masharti ya mtandao huo. Kampuni ya Google, inayomiliki mt… Read More
  • MAHUSIANO YA NANDO NA DAYNA JUU YA PICHA TATA SASA HADHARANI, DAYNA AFUNGUKA   Moja ya picha hizo Mwimbaji wa Nivute kwako Dayna Nyange amezungumzia uhusiano wake na mshiriki wa Big Brother Africa, Ammy Nando baada ya kuonekana katika picha kadhaa wakiwa katika poz tata. Dayna amefunguka… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE