
Mtunzi: Enea Faidy
Ilipoishia sehemu ya pili ( kama hukuisoma bofya hapa)
...Baada
ya kukamilisha yote hayo Madam Mbeshi akasogeza kiti chake karibu na
meza kisha akaketi halafu akaanza kusogeza vitu vilivyokuwepo mezani
pale lakini ghafla akakutana na karatasi chafuchafu mezani kwake lakini
ilikuwa na maandishi.
Akashtuka
kidogo halafu akaichukua ili aisome vizuri. Mwalimu Mbeshi hakutaka
kuamini kile alichokiona, akataharuki kwa hofu na mshangao....
0 MAONI YAKO:
Post a Comment