
Mchezo wa Yanga na T P Mazembe unaotarajiwa kuchezwa June 28 katika uwanja wa Taifa jijin Dar Es Salaam
Katiak mchezo huo viingilioa vyatajwa kuwa ni
Majukwaa yote ya Mzunguko: 7,000
VIP: 30,000
Mashabiki, wapenzi na wanachama mnaombwa kufika kwa wingi kuwapa hamasa vijana, Hamasisha na wengine, Tiketi zitaanza kuuzwa jumatatu 27/6/2016
VIP: 30,000
Mashabiki, wapenzi na wanachama mnaombwa kufika kwa wingi kuwapa hamasa vijana, Hamasisha na wengine, Tiketi zitaanza kuuzwa jumatatu 27/6/2016
0 MAONI YAKO:
Post a Comment