Msanii mdogo mwenye mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mchache
amekanusha habari zinazosambazwa na watu wasiompenda kwamba amekamatwa
na poliisi. Akitolea maelezo suala hilo kutoka kwenye nyumba yake
anayomiliki maeneo ya Sinza alidai kwamba hajakamatwa na mtu yeyote yule
ila alikuwa akishoot video ya wimbo wake mpya unaoitwa "Jirani
nitakuvunjia simu yako" ambapo director alishauri simu ivunjwe ili
kuleta uhalisia ."Unajua director alikuwa too authentic,hata sisi
ilibidi tuvunje simu ya jirani"
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
40 minutes ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment