Msanii mdogo mwenye mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mchache
amekanusha habari zinazosambazwa na watu wasiompenda kwamba amekamatwa
na poliisi. Akitolea maelezo suala hilo kutoka kwenye nyumba yake
anayomiliki maeneo ya Sinza alidai kwamba hajakamatwa na mtu yeyote yule
ila alikuwa akishoot video ya wimbo wake mpya unaoitwa "Jirani
nitakuvunjia simu yako" ambapo director alishauri simu ivunjwe ili
kuleta uhalisia ."Unajua director alikuwa too authentic,hata sisi
ilibidi tuvunje simu ya jirani"
UCHUNGUZI WA DCEA WAANIKA NJIA MPYA ZA UJANGILI WA KIMATAIFA WA DAWA
-
*Mfanyabiashara wa madini anaswa mkoani Lindi akisambaza biskuti hizo
Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kul...
4 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment