July 11, 2016

Mitandao ya kijamii Ethiopia yafungwa kwa ajili ya mtihani

Ethiopia yafunga mitandao yote ya kijamii baada ya maswali ya mtihani wa mwisho wa mwaka kusambaa mitandaoni mwezi uliopita.
Jambo hilo lilipelekea kuwa na kashfa ya kitaifa na hata kufutwa kwa usajili wa baadhi ya wanafunzi.
Mitandao ya Facebook,Twitter na Viber imefungwa tangu Jumamosi asubuhi.
Kwa mujibu was msemaji wa serikali,ni kwamba mitandao ya kijamii ni tatizo kwa maisha ya mwanafunzi na hivyo basi Ethiopia imeamua kuzifunga kwa muda mfupi .
Mitandao hiyo itafungwa hadi siku ya Jumatano wiki hii.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE