July 11, 2016

Mitandao ya kijamii Ethiopia yafungwa kwa ajili ya mtihani

Ethiopia yafunga mitandao yote ya kijamii baada ya maswali ya mtihani wa mwisho wa mwaka kusambaa mitandaoni mwezi uliopita.
Jambo hilo lilipelekea kuwa na kashfa ya kitaifa na hata kufutwa kwa usajili wa baadhi ya wanafunzi.
Mitandao ya Facebook,Twitter na Viber imefungwa tangu Jumamosi asubuhi.
Kwa mujibu was msemaji wa serikali,ni kwamba mitandao ya kijamii ni tatizo kwa maisha ya mwanafunzi na hivyo basi Ethiopia imeamua kuzifunga kwa muda mfupi .
Mitandao hiyo itafungwa hadi siku ya Jumatano wiki hii.

Related Posts:

  • Abou Diaby atemwa Arsenal   Mabingwa wa Kombe la FA mara mbili mfululizo Arsenal wamemtema kiungo wao Abou Diaby. Mchezaji huyo mwenye kipaji, 29, alikuwa akifananishwa na gwiji wa Arsenal Patrick Viera na kocha Arsene Wenger, lakini amekuwa … Read More
  • Bernard Membe apata udhamini wa kishindo katika mkoa wa Ruvuma Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa mj… Read More
  • Mr. Nice amshukia Rais Mr. Nice Mr Nice amechukizwa na hatua za rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ya kutangaza nia ya kuombea urais kwa awamu ya tatu kinyume na katiba hali ambayo imesababisha machafuko. Rais wa Burundi Pi… Read More
  • Ben Pol nitafunga ndoa ya kimila    Staa wa Bongo Fleva anaye fanya vizuri kwa sasa na ngoma yake ya ‘Sophia’ Ben Pol amefunguka kuwa atafunga ndoa ya kimila kwenye harusi yake. Akipiga stori na Clouds Fm hivi karibuni,alisema kuwa atafunga n… Read More
  • JK: Sina mgombea urais   Licha ya idadi kubwa ya makada wa CCM waliojitokeza na wanaoendelea kujitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais kupitia chama hicho tawala, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake amesema hana mgombea, … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE