

B Band

Shaban Dede kushoto akiwa na Zomboko

Family Team

Mc wa show bwana Hamis Dacota toka Clouds Media
Picha zaidi Bofya hapa
MC wa onyesho alikuwa ni Khamis Dacoto wa Clouds FM/Clouds TV
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/07/picha-38-za-tanzania-band-festival.html
Copyright © saluti5
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/07/picha-38-za-tanzania-band-festival.html
Copyright © saluti5
PICHA 38 ZA TANZANIA
BAND FESTIVAL NDANI YA LEADERS CLUB
A+
A-
Print
Email
TAMASHA la muziki wa bendi za Tanzania (Tanzania Band Festival)
lilifanyika Jumamosi usiku katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni,
jijini Dar es Salaam na kupokewa kwa msisimko wa aina yake.
Bendi kama Msondo Ngoma, Sikinde, B Band, Akudo, FM Academia, Skylight,
Twanga Pepeta, Yamoto na nyingine nyingi, zikapata wasaa wa kuonyesha
ufundi wao jukwaani.
Haikuwa mashindano, bali lilikuwa ni tamasha lililodhamiria kuleta
mshikamano na mingoni mwa bendi zetu, hususan zile za muziki wa dansi.
Kama mapungufu kadhaa yaliyojitokeza yatafanyiwa kazi vizuri, basi
tamasha hilo ambalo limepangwa kufanyika kila mwaka, litakuwa ni jukwaa
muhimu ya kuukwamua muziki wa dansi.
Waandaaji wa onyesho hilo, Q Plus General Enterprises wanapaswa
kupongezwa na kuungwa mkono badala ya kukatishwa tamaa kutokana na
ukweli kuwa kuzikutanisha bendi nyingi kiasi kile maana yake ni kwamba
unazungumzia matumizi ya uwekezaji mkubwa wa pesa.
Mpangilio wa show ulikuwa kama ifuatavyo: TOT Band walifuangua pazia
kisha wakafuata Akudo Impact, Sikinde, QS Internationa Band, King Kiki,
Family Team, Msondo, Yamoto, B Band, Top Band, Skylight Band, Mapacha
Watatu, Twanga Pepeta kisha pazia likafungwa na FM Academia.
Onyesho lilianza rasmi majira ya saa 12 jioni na kuendelea hadi saa 10
za alfajiri.
Mgeni rasmi alikuwa ni mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Paul
Makonda ambaye alichangia zawadi ya shilingi milioni moja.
Pata picha 38 za onyesho hilo la Tanzania Band Festival.
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/07/picha-38-za-tanzania-band-festival.html
Copyright © saluti5
Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/07/picha-38-za-tanzania-band-festival.html
Copyright © saluti5
0 MAONI YAKO:
Post a Comment