Msanii 20% akiwa na Man Water baada ya kusaini mkataba
Msanii 20% ambaye aliwahi
kutamba na ngoma kibao kali amefunguka na kusema kuwa amerudi rasmi tena
kwenye tasnia ya muziki wa bongo fleva kuja kufanya kazi na kuwapa
burudani pamoja na ujumbe wa maana mashabiki zake ambao wamekuwa
wahihitaji
Kwa upande wake Man Water amedai kuwa sasa 20% amerudi rasmi mwaka 2016 chini ya Kombinenga na kuwataka mashabiki wake mkao wa kula kupokea kazi nzuri zenye ujumbe mzito na wakusisimua kutoka kwa msani huyo.
"Twenty Percent is back. ...2016
Kaa mkao wakula ngoma zenye jumbe nzito na za kusisimua...kila kitu kiko sawa sasa...new page" aliandika Man Water
wahihitaji arudi kwenye muziki.
Juzi 20% aliweza kusaini mkataba chini la Label ya Kombinenga
inayomilikiwa na mtayarishaji wa muziki Man Water kutoka katika studio
za Combination Sound, 20% aliweza kusaini mkataba wa miaka mitano
kufanya kazi chini ya Label hiyo, ambayo itakuwa ikimsimamia katika kazi
zake.
"Kwa upande wake 20% alisema kuwa sasa amerudi rasmi kuja kuwachinja
tena na kusema amerudisha sauti ya gharama kwa jamii na mashabiki wake,
sauti yenye kuburudisha, sauti yenye kufunza na kutoa burudani kwa watu
wake" alisema 20%Kwa upande wake Man Water amedai kuwa sasa 20% amerudi rasmi mwaka 2016 chini ya Kombinenga na kuwataka mashabiki wake mkao wa kula kupokea kazi nzuri zenye ujumbe mzito na wakusisimua kutoka kwa msani huyo.
"Twenty Percent is back. ...2016
Kaa mkao wakula ngoma zenye jumbe nzito na za kusisimua...kila kitu kiko sawa sasa...new page" aliandika Man Water
0 MAONI YAKO:
Post a Comment