June 04, 2013

  

   sanduku lenye mwili wa Mangwea

  Sura za huzuni na majonzi vilitawala leo mchana baada ya watanzania waliofika uwanja wa Mwal JK Nyerere kuona sanduku lililobeba mwili wa msanii maarufu Tanzania Albert Mangwea kuwasili uwanjani hapo ukitokea Afrika kusini alipofariki jumaa nne iliyopita







Tpp aliyewahi kuwa meneja wa Marehem Mangwea, aamini anachokiona

Rais wa Manzese Madee alikuwepo uwanjani






Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE