August 13, 2016

Hakainde Hichilema 
 Hakainde Hichilema anaongoza dhidi ya mpinzani wake rais wa sasa Edgar lungu kwa kura zaidi ya elfu sita

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais nchini Zambia yanaonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani, Hakainde Hichilema anaongoza kwa ushindi wa kura chache.
Takwimu za Tume ya uchaguzi zinaonyesha Bw Hichilema yuko mpele ya Edgar Lungu rais wa sasa wa zambia kwa kura zaidi ya elfu sita.
Tume ya Uchaguzi ya Zambia ilipinga shutuma kutoka kwa Bw Hichilema kwamba ilikula njama na serikali ya kuchelewesha kutangaza matokeo ya uchaguzi.
Ilisema ushiriki wa wapiga kura zaidi ya asilimia hamsina na saba unamaanisha kwamba shughuli ya kuhesabu kura itachukua muda kuliko ilivyo tarajiwa.
Edgar Lungu alichaguliwa mwaka jana kwa ushindi mdogo kufuatia kifo cha rais aliekuwepo mamlakani wakati huo, Michael Sata

Related Posts:

  • Shilole afunguka kuhusu ujauzito   Msanii filamu na muziki wa bongo fleva, Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana ujauzito wowote bali ameridhika na maisha jambo ambalo limefanya aongezeke mwili na kunenepa licha ya watu kuwa na hisia ku… Read More
  • Donald Tusk azua mgawanyiko Poland   Mgawanyiko mpya umetokea ndani ya Umoja wa Ulaya kuhusu kuchaguliwa tena kwa Donald Tusk kuwa Rais wa wa Baraza la Mawaziri. Kukataliwa kwa Tusk na Poland nchi alikotoka hbakujaungwa mkono na nchi wanachama wa Um… Read More
  • Lissu, Masha wanunua kesi ya kupinga uchaguzi TLS   Baadhi ya wagombea wa nafasi ya  urais kupitia kwa chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS wanatarajia kuwasilisha maombi ya kujumuishwa kama wadaiwa katika kesi ya kupinga kufanyika kwa uchaguzi wao… Read More
  • Brand New Audio: Mapenzini - Barnaba   Mkali wa  mashahiri ya kubwmbeleza nchi Tanzania Barnaba Classic, ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa Mapenzini. … Read More
  • Mwamuzi wa Chirwa aondolewa Ligi Kuu Mwamuzi Ahmada Simba akimuonesha kadi nyekundu mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting. Kamati ya Bodi ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi za Tanzania (Kamati ya Saa 72), imemwondoa… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE