August 13, 2016
8:47 AM
Machaku
No comments
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Jimbo la Bunda, Mkoani Mara Bi. Janeti Mayanja
amepokea madawati 90 yalitolewa na Mbunge wa Jimbo hilo kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bi. Ester Bulaya, ambapo hapo
awali madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo hilo walikataa
kupokea madawati hayo baadaya ya kuwa yameandikwa jina la mbunge huyo
pamoja na kuwa yamenunuliwa na fedha za Mfuko wa Jimbo.
Related Posts:
Vurugu soko kuu la Morogoro, Mawachinga wafunga Barabara kwa kuwasha moto, mabomu ya machozi yawatawanya Hali ya sintifahamu, imezuka leo mkoani Morogoro, kufuiatia tukio la wafanya biasahara ndogondogo maarufu kama wamachinga, kufunga barabara ya Madaraka Road na kisha kuwasha moto katikati ya barabara. Tukio hilo lim… Read More
ACT Wazalendo wahofia watoto wa maskini kukosa mikopo Chama cha ACT Wazalendo kimepinga utaratibu wa sasa wa utoaji mikopo wa elimu ya juu ambao wanasema ukiachwa bila kupingwa utasababisha watoto wengi wa maskini washindwe kujiunga na elimu ya juu kwa kukosa… Read More
Diaspora marufuku kumiliki ardhi nchini Tanzania Waziri William Lukuvi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi amewataka wananchi kutoa taarifa za raia wa kigeni wanaomiliki ardhi nchini kinyume cha sheria … Read More
Esma Platnumz avunja ukimya, afunguka kuhusu wazazi halisi wa Diamond Platnumz Esma PlatnumzDada wa msanii Diamond platnuz Esma Platnumz amesema hakuwahi kumtabiria wala kutegemea kuwa kaka yake Diamond angekuja kuwa mtu maarufu kimataifa japo alikuwa akionesha kupenda muziki tangu… Read More
FIESTA 2016: Yemi alade amtaka Vanessa amfundishe Kiswahili Staa wa muziki kutoka Nigeria, Yemi Alade ambaye yupo nchini kwa sasa kwa ajili ya tamasha la Fiesta Dar 2016, ameeleza jinsi alivyoweza kuimba wimbo kwa Kiswahili amb… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment