Mkali wa Hip Hop Tanzania na nfiyo m,wenye mashabiki wengi kwa mziki huo nchini Farid Kubanda Fid Q, ametuletea video ya wimbo wake mpya alioimba na Christian Bella, wimbo unaitwa Roho
AC Milan Yafungiwa
WAKON GWE wasokanchini Italia, AC Milan wamefungiwa kushiriki
michuano ya Ulaya kwa mwaka mmoja kutokana na kukiuka kanuni za soka.
Timu hiyo ilikuwa ikijiandaa kushiriki katika michuano ya Europa
League msimu u…Read More
Miss Morogoro 2018, yazinduliwa Rasmi Samaki Spot
Mratibu Mkuu New Miss Morogoro 2018 Farida Kilususu akizungumza na ummati wa wahudhuliaji usiku wa jana pale Samaki Spot
Pazia, lishafunguliwa rasmi, mwenye macho na haone, wamasikio wasikie. Ndiyo kauli tunayoweza kui…Read More
Official Video: Sihitaji - Strevol
Kutoka mji kasoro Bahari Morogoro, maeneo ya Forest ndani ya studio za Kwanza Record chini ya mtayarishaji Vennt Skillz, Mokomoko Movemennt inamdondosha kwenu na kumtambulisha rasmi zao lingine kabisa chini ya Lebo hiy…Read More
official video: Sio Kama Wao - Agatha ft Joh Mkristo
Kwa mara ingine tena Mwanamuziki toka mkoani Morogoro anaitwa Agatha Mbale, anadondosha ngoma yake mpya inaitwa Siyo kama wao. Agatha ameshusha hii baada ya ngoma zake za Shujaa na Mawenge kufanya poa . Tazama hapa c…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment