Mark Zuckerbag aliitembelea Nigeria ambapo alijionea namna mtandao wa Facebook unavyofanya kazi na kuweza kuwaunganisha watu mbalimbali. Baada ya kumaliza ziara yake nchini Nigeria, Mark aaliwasili nchini ya Kenya Jumatano Agosti 31.
Kingine kikubwa kilichozua gumzo ni baada ya bilionea huyo kuingia katika mgahawa mmoja jijini Nairobi akiwa na Waziri wa Habari wa Kenya na kuonekana akila Ugali, Sukuma wiki na Samaki.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment