September 01, 2016


15

Mmiliki wa Facebook, Mark Zuckerbag yupo barani Afrika ambapo anafanya ziara kujionea maendeleo ya teknolojia katika baadhi ya nchi.
Mark Zuckerbag aliitembelea Nigeria ambapo alijionea namna mtandao wa Facebook unavyofanya kazi na kuweza kuwaunganisha watu mbalimbali. Baada ya kumaliza ziara yake nchini Nigeria, Mark aaliwasili nchini ya Kenya Jumatano Agosti 31.

16
Akiwa nchini Kenya ametembelea kituo kimoja cha iHub ambacho kimetengeneza mfumo unaowezesha wateja wa mitandao ya simu kununua gesi ya nyumbani kwa kitumia simu zao.
Kingine kikubwa kilichozua gumzo ni baada ya bilionea huyo kuingia katika mgahawa mmoja jijini Nairobi akiwa na Waziri wa Habari wa Kenya na kuonekana akila Ugali, Sukuma wiki na Samaki.

15 

Mark alitembelea mgahawa wa Mama Oliech ambapo aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa kila akitembelea taifa lolote, hupenda kujaribu chakula wanachotumia, na kuwa aliupenda sana Ugali na Samaki ikiwa ni mara yake ya kwanza kula chakula hicho.

Related Posts:

  • Umoja wa Ulaya wataka kudumishwa amani Misri   Federica Mogherini   Umoja wa Ulaya umezitaka pande zote zinazozozana huko Misri kudumisha amani nchini humo. Federica Mogherini mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameashiria utumiaji nguvu za ziad… Read More
  • SUMATRA yafungia mabasi kwa kutoza nauli kubwa   MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefungia mabasi mawili … Read More
  • Waziri wa Michezo atekwa nyara    Armel Mingatoloum Sayo, Waziri wa Vijana, Michezo, Sanaa na Utamaduni wa CAR aliyetekwa nyara na magaidi wa Anti-Balaka  Watu wanaosadikiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Anti-Balaka la Jamhuri … Read More
  • Msafara wa jeshi washambuliwa Mali   Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu. Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré. Shambuliz hilo linajiri wakati… Read More
  • Daktari afungwa kwa ukeketaji    FGM misri Katika kesi cha kipekee nchini Misri, daktari mmoja ametiwa mbaroni kwa kosa la kumkeketa msichana mwenye umri wa miaka kumi na tatu. Wakereketwa wanaopinga tabia ya kuwakeketa watoto wa kike,… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE