September 01, 2016

14031609_171648116595722_1232327386_n 
 Hatimaye Diamond na Ne-Yo wameshoot video ya wimbo wao, Marry You.
Video imefanyika jijini Los Angeles, Marekani. Wimbo huo ulirekodiwa kitambo baada ya Diamond kumfuata Ne-Yo Nairobi alikoenda kwenye kipindi cha Coke Studio Afrika, msimu wa tatu.
Baada ya hapo wawili hao walikutana tena Marekani kumalizia baadhi ya vipande. Mwezi May, Ne-Yo na Diamond waliuimba wimbo huo pamoja kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, kwenye tamasha la Jembeka.
Tazama baadhi ya picha za behind the scenes.
 14099274_652267324950266_798681766_n 


Related Posts:

  • Diamond platnunz akutana na Kanye West USA                         Yoyote ambae anaufuatilia muziki waKanye West akikutana nae hawezi kuacha … Read More
  • Maalim Seif Asema Polisi Imegeuka tawi la CCM Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad jana aliwasili Zanzibar kutoka ughaibuni na kulilaumu Jeshi la Polisi nchini akisema, “hapana shaka yoyote sasa limegeuka tawi la CCM.” Maalim Seif alisema hayo… Read More
  • Mama Tibaijuka ang'ang'aniwa koo Hatima ya kesi ya Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka kupinga kuilipa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zaidi ya Sh500 milioni kutoka katika mgawo wa Sh1.62 bilioni zinazohusishwa na fedha zilizochotwa Ak… Read More
  • New Official Video: Sizonje - Mrisho Mpoto ft Banana Zoro    Hatimaye baada ya Audio yake kufanya vizuri kila kona, na baadaye msanii Stan Bakoro kuutolea Video, leo mjomba Mrisho Mpoto ameuachia rasmi Video ya wimbo wake wa Sizonje. Tazama hapa    … Read More
  • New Audio: Tekno -Where Baada ya kufanya poa sana na nyimbo zake kama Duro, Wash, Mari hatiamye mwanamuziki toka nchini Niogeria Teknomize maarufu TEKNO ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa WHERE chini ya producer wake Selebobo Down… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE