September 07, 2016


Leo Kwenye Kipindi cha You Heard mama Wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda muda wa mchana nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea na kutukana maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa

Msikilize Hapa:

                        

Related Posts:

  • Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi   Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991. Msh… Read More
  • Idadi ya wasanii waliotangaza kugombea Ubunge 2015 hii hapa Muigizaji Wema Sepetu ametangaza kuwania Ubunge wa viti maalum Singida Wasanii wa filamu na muziki wameamua kujitokeza kuwania nafasi za ubunge katika maeneo mbalimbali nchini katika uchaguzi wa 2015. Mpaka sasa… Read More
  • Jicho letu October:Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?   Ikiwa Tanzania inaeleke akatika tukio kubwa la ktaifa  Uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais, OCTOBER 2015. Hapa tunazidi kuwaletea Taarifa mbalimbali zinazohusiana na Uchaguzi mkuu.  Leo hii tuna… Read More
  • Nuh Mziwanda atimua kwa Shilole Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa. Shilole ameyazungumza hay… Read More
  • Wapinzani waipasua Serikali  Mwenyekiti wa maofisa watendaji wakuu wa makampuni, Ali Mufuruki (Kushoto) akiangalia kitabu cha Azimio la Tabora alilokabidhiwa na kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe (wa pili kushoto) baada ya kum… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE