September 12, 2016

david_cameron_cropped

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron amejiuzulu nafasi yake ya ubunge na kupisha uchaguzi mdogo katika jimbo lake la Witney.

Cameron ambaye alijiuzulu nafasi yake ya Waziri Mkuu wa Uingereza Juni mwaka huu baada ya kupigwa kwa kura ya Uingereza kujitoa ndani ya Muungano wa Ulaya (EU) amesema kuwa hatiki kuwa kikwazo kwa Waziri Mkuu wa sasa, Theresa May.
Cameron amekuwa Mbunge wajimbo la Witney tangu mwaka 2001. Alisema kuwa ni furaha kubwa kulitumikia jimbo hilo kwa miaka yote hiyo lakini itakuwa ni vigumu kwake kuendela kuwa mbunge bila kuwa kikwazo katika shughuli serikali.
Aidha, alieleza kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo alimuelewa pindi alipomwambia kuhusu uamuzi huo wa kujiuzulu

Related Posts:

  • Christian Bella Kuleta Mapinduzi ya Muziki wa Dance Inchini Tanzania Mfalme wa Masauti Christian Bella ameachia Track yake mpya Nashindwa Audio pamoja na Video, Audio ya wimbo huo imefanywa chini ya Studio za Combination sound chini ya Producer man Walter na Video imefanyika Africa ya Kusini … Read More
  • Al-Shabab watishia kuishambulia tena Kenya Kundi la wanamgambo wa al-Shabab wa Somalia limetishia kuishambulia tena Kenya na kusisitiza kwamba, Wakenya watakabaliwa na vita vya muda mrefu na vya kutisha. Taarifa ya wanamgambo wa al-Shabab imebainisha kwamba, muda sio… Read More
  • Kenyatta atangaza siku tatu za maombolezo Kenya Rais Uhuru Kenyatta Wa Kenya ametangaza siku 3 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Chuo Kikuu cha Garissa lililoua karibu watu 150. Akilihutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi… Read More
  • Wapinzanu washinda uchaguzi NigeriaRais mpya wa Nigeria Buhari Muhammadu Buhari, ni Muisilamu, mzaliwa wa Jimbo la Katsina, Nigeria kaskazini. Alizaliwa mwaka 1942, Buhari alikuwa kiongozi wa saba wa taifa la Nigeria, baina ya mwaka 1983-1985. Ni jenerali msta… Read More
  • WhatsApp yaanzisha huduma ya kupiga simu Mtandao wa kijamii wa whatsapp unautumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, umeanzisha uduma mpya ya kupiga na kupokea simu Awali mtandao huo ulikua na huduma za kawaida za kutuma ujumbe, video, picha au kurekodi sauti. Kwas… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE