October 19, 2016


Leo August 19 2016 zimesambaa taarifa zilizomhusu mkuu wa mkoa wa Ausha, Mrisho Gambo, taarifa hizo zilidai kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkuu huyo wa mkoa hata hivyo ikulu imekanusha taarifa hizo kuwa hazina ukweli wowote.

RC Gambo wakati akiwa kwenye kikao na wafanyabiashara amelizungumzia hilo pia na kusema watu wapuuze taarifa zilizotolewa kwenye mitandao kwamba ametenguliwa kwenye nafasi yake na amesema  Rais amempigia simu  akamwambia anamwamini na ataendelea kukaa Arusha kwa ajili yakufanya kazi kwa ajili ya wananchi. Sikiliza hapa Chini

               

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE