October 31, 2016


TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU KESI DHIDI YA LIPUMBA NA WENZAKE:

THE Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) tunapenda kuwajulisha wanachama, wapenzi wa CUF na watanzania wapenda mabadiliko nchini kwa ujumla kuwa shauri lililofunguliwa na Bodi ya wadhamini ya CUF(THE REGISTERED TRUSTEES OF THE CIVIC UNITED FRONT(CUF-CHAMA CHA WANANCHI) dhidi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini(THE REGISTRAR OF THE POLITICAL PARTIES)-1, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (THE HONOURABLE ATTORNEY GENERAL)-2, Prof Ibrahim Haruna Lipumba-3, Magdalena Sakaya-4, Maftaha Nachuma-5, Abdul Kambaya-6, Masudi Omari Mhina-7, Thomas Malima-8, Kapasha H. Kapasha-9, Musa Haji Kombo-10, Habibu Mnyaa-11, Na haroub Shamis-12.
Imepangwa kutajwa kwa mara ya kwanza tarehe 10 NOVEMBER, 2016 katika Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam mbele ya Jaji KIHIYO.

HAKI SAWA KWA WOTE

Maharagande

KNMHUMU

Related Posts:

  • Muuaji aua watu 182   Waziri wa mawasiliano Getachew Reda Wananchi wa Ethiopia wameeleza namna muuaji wa watu zaidi ya 182 kuwa alikuwa ameshikilia bunduki na ni raia wa Sudan Kusini upande wa Magharibi mwa Gambela mk… Read More
  • Zifahamu siri saba za ‘smartphone’ ambazo hukuzifahamu MATUMIZI ya simu za kisasa (smartphone) yamezua maneno na uvumi wa kila aina katika blogu, magazeti mbalimbali, barua-pepe, mitandao ya WhatsApp na Facebook, hata hivyo, mtumizi wa simu hizi hatakiwi kua… Read More
  • Move ya Kihistoria: Hard Target   Kwa wale wapenzi wa Move, leo hii tumewakumbusha hii hapa, ni moja ya move zilizopendwa sana kipindi kile   Hard Target ya1,993 wa Marekani action filamu iliyoongozwa na Hong Kong mkurugenzi wa filamu John Wo… Read More
  • Madam Litha aulizwa swali gumu sana kuhusu top 5 ya BSS   Bongo Star Search ni shindano pekee kwa Tanzania la kusaka vipaji kwa vijana wenye uwezo wa kuimba. Madam Rita kupitia kampuni yake ya Benchmark Production alikuwa na malengo mazuri ya kuanzisha shindano hi… Read More
  • Ahukumiwa kifo kwa kumuua kiongozi wa dini Mahakama kuu ya Mombasa imemhukumu Kifo mwanamume aliyekutwa na hatia ya kumuua  kiongozi wa dini Sheikh Mohammed Idris. Mohamed Soud amekutwa na hatia ya kumuua Sheikh Idris aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wahubi… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE