October 31, 2016

HALI YA UCHUMI: Benki ya CRDB imetangaza hasara ya takribani Shilingi Bilioni 2 katika hesabu zake za robo mwaka (Quarterly Financial Statements)
 
 Taarifa za fedha zinaonesha kuwa mikopo mingi haijalipwa (underperforming Loans) lakini pia CRDB walikuwa wana limbikizo kubwa la deni la kodi la muda mrefu.
Mwaka 2015 kwenya taarifa yake ya robo mwaka muda kama huu CRDB ilipata faida ya Shilingi bilioni 37.9 baada ya kulipa kodi na tozo nyingine.
 

Related Posts:

  • PUMZIKA KWA AMANI MAMA YETU MPENDWA Aliyekuwa mama mzazi wa Abuu Nacco    Mwishoni mwa wiki iliyopita tulipatwa na msiba wa mama yetu mpendwa mama wa ndugu yetu, mdau wa media Abuu Nacco.     Ni pigo kwa familia na watu wakaribu n… Read More
  • KITU KIPYA TOKA CLOUDS TV    Kama bado hujajiunga na familia ya Clouds Tv huu ni muda muafaka kwako kwani mambo mazuri mengi yapo njiani yanakuja kwa ajili yako ,ujio huu hauko mbali,hii ni show mpya ambayo itakua ina mpangilio wa habar… Read More
  • CHINA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA JAN 31 (YER OF THE HORSE) Wakati nchi nyingine duniani zikiwa zimeshaanza kusahau sherehe za kuukaribisha mwaka mpya 2014 zilizoanza na mkesha December 31, na kuadhimishwa rasmi January 1, 2014, wananchi wa China wao wanausubiri k… Read More
  • TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR SASA NI FEBR 13 -16 Tamasha kubwa la muziki linalosherehekea muziki wa kiafrika kila mwaka ‘Sauti za Busara’, litafanyika February 13 hadi February 16 mwaka huu, Ngome Kongwe Zanzibar na kuhudhuriwa na waasanii 200 … Read More
  • BWA MWITU" SASA TISHIO KWA WANANCHI TABATA Chanzo: Mwananchi Dar es Salaam. Wakazi wa Tabata na viunga vyake, sasa wanaishi kwa wasiwasi mkubwa kutokana na kuibuka kwa kundi la vijana, wanaojiita Mbwa Mwitu wakitumia silaha za jadi, kujeruhi watu n… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE