Mwanamuziki Michael Ray Stevenson ‘Tyga’, amefunguka kuwa amewahi
kuonywa kutoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na Mwanamitindo Kylie
Jenner lakini cha ajabu hakuambiwa sababu za kuwa mbali na mwanamke huyo
hivyo akapotezea. Akizungumza na Jarida la Complex, Tyga alisema yeye alikuwa na
mapenzi ya dhati na mwanamke huyo lakini kila alipokutana na marafiki
zake walimtahadharisha kuwa mbali naye.
“Marafiki zangu wengi walikuwa wakinitahadharisha kuwa mbali na Kylie
bila kunipa sababu, nilishindwa kuwasikiliza kwani moyoni nilimpenda
sana,” alisema Tyga.
Audio/Mperempera - Mash J ft Stamina
Mperampera ni moja ya ngoma zinazofanya vizuri sana kwa sasa katika uwannja wa Hip Hop kwa Tanzania. Hii ngoma imefanywa na msanii chipukizi toka mkoani Morogoro anaitwa Mash J akimshirikisha mkali mwingine Stami…Read More
Mzee Yusuph kutangaza nia kesho
Msanii wa taarabu na CEO wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf
anategemea kutangaza nia kesho Jumamosi 13 Juni 2015, Huu ukiwa ni mwaka
wa uchaguzi, tumeshuhudia makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi
wakitangaz…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment