Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. John Pombe Magufuli, yupo zialani nchini Kenya. Mh. Rais Magufuli na Rais Kenyata wamepata kuhutubia leo hii. Tazama hapa Hotuba zote mbili
Wanawake waombwa msamaha
wanawake wakifanya maandamano kuadhimisha siku ya wanawake duniani nchini Indonesia
Kampuni inayotengeneza nguo za riadha nchini Indonesia, imeomba
msamaha, kwa kuuza t-shat…Read More
Chinja chinja wa IS alikuwa mlevi
Mohammed Emwazi ,mtu ambaye
alibadilika na kuwa ''chinja chinja'' wa kundi la islamic state kwa jina
'jihad John' Mohammed Emwazi, alifurushwa kutoka nchini Tanzania kwa
kuwa mlevi na mtu anayetoa matusi.,afisa m…Read More
Ubunge Morogoro Mjini, hatimaye Maharagande avaa gwanda rasmi
Maharagande akipokea fomu za kuwania nafasi ya kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge morogoro mjini kutoka kwa katibu kata ya Sultani Area Amin Kabwanga katikati, wanaoshuhudia tukio hilo kushoto ni M/kiti CUF Moro…Read More
Snura aamua kutoka na Nay wa Mitego
Mwanamuziki wa bongo Fleva Snura Mushi baada ya kukaa kimya kwa muda hatimaye ameachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Nay wa mitego
Hii hapa chini Download sasa
…Read More
Mtatiro: Nitagombea Ubunge Segerea
Ndugu zangu, kesho Jumatatu 09 Machi 2015 saa 4.00 asubuhi,
nitachukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Segerea kama ambavyo
taratibu za ndani ya chama changu zinaruhusu. Hakutakuwa na mbwembwe
vifijo wala …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment