Matokeo hayo yametangazwa na katibu wa mkutano huo DED Kayombo na yalikuwa kama ifuatavyo;
Nafasi ya Naibu Meya wapiga kura walikuwa 18, Kura halali zilikuwa 18, kura zilizoharibika 0.
Abdul Lema wa CCM amepata kura 3, Kwangaya Ramadhani wa Ukawa amepata kura 15 hivyo Kwangaya Ramadhani (Ukawa) ndiye Naibu Meya wa almashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Nafasi ya Meya Wapiga kura walikuwa 18, Kura zote halali zilikuwa 18, Kura zilizoharibika ni 0.
Yenga CCM alipata kura 2 huku Boniface Jacob akipata kura 16.
Kwa matokeo hayo, Mhe. Boniface Jacob ndiye Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment