November 19, 2016

img_20161119_150355 
 Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, limezuia mkutano wa Chama cha Wananchi CUF uliopangwa kufanyika leo hii.

 Sababu za kuzuiwa kwa mkutano huo uliopangwa kufanyika katika viwanja vya Chuo cha SAUT na kuhutubiwa na Katibu mkuu Maalim Seif Sharif Hamad  bado hazijawekwa wazi lakini awali jeshi hilo lilisitisha mikutanonya Hadhara ya kisiasa mpaka hapo tamko litakapotolewa.
 img_20161119_142938 

img_20161119_142943 

 img_20161119_142952 

img_20161119_145736 
 img_20161119_145742 

img_20161119_145745

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE