November 19, 2016


3
Bernard Mchomvu
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya mapato nchini TRA, Bernard Mchomvu ameamka na habari mbaya Jumapili hii. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli amemshushia rungu yeye na bodi yake.
Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu Jumapili hii:
6eb3f220-d470-451a-ac10-416c3ae72102
Hatua hiyo imekuja katika kipindi ambacho mamlaka hiyo imeonesha kufanya vizuri zaidi katika kukusanya mapato ambapo imefanikiwa kukusanya shilingi trilioni 1.15 kwa mwezi Oktoba mwaka huu ikiwa ni kukamilisha malengo waliyojiwekea katika ukusanyaji wa mapato.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE