Lile shirika la wambea Duniani SHILAWADU ambalo siku hadi siku linazidi kupanda chati kutokana na style yao ya kutoboa habari zilizojificha za Mastar wa Bongo, Leo hii wametuletea hili linalomuhusisha Dimond Platnumz kumpoza Video Queen Tumnda mpaka kupigwa kibuti na Kibosile wake. Shlawadu shilawaduu tunawaona tu mnavyokula Ubuyuuu. Hii hapa chini story ilivyokuwa
UWASA KUONGEZA UZALISHAJI KUTOKA LITA 45 HADI MILIONI 60 IFIKAPO DESEMBA
MWAKA HUU
-
Na Hadija Bagasha Tanga,
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Tanga (UWASA) inatarajia
kuongeza uzalishaji wa maji kutoka lita milioni 45 hadi lita...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment