Lile shirika la wambea Duniani SHILAWADU ambalo siku hadi siku linazidi kupanda chati kutokana na style yao ya kutoboa habari zilizojificha za Mastar wa Bongo, Leo hii wametuletea hili linalomuhusisha Dimond Platnumz kumpoza Video Queen Tumnda mpaka kupigwa kibuti na Kibosile wake. Shlawadu shilawaduu tunawaona tu mnavyokula Ubuyuuu. Hii hapa chini story ilivyokuwa
SHANGWE ZATAWALA SHINYANGA! JUMBE AMWAGA VIBUNDA STAND UNITED IKIICHARAZA
MTIBWA SUGAR
-
Mdau wa michezo Jackline Isaro akikabidhi fedha sh.2,200,000 kwa Timu ya
Stand United mara baada ya kuichapa bao moja Timu ya Mtibwa Sugar, kwa
niaba ya M...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment