Silaha haramua zilizotwaliwa kutoka kwa wahalifu zimechomwa moto nchini Kenya. Kwa mujibu wa shirika la habari la AP, silaha hizo zilipangwa hadi urefu wa futi 15.Kabla kuwashwa moton makamu wa rais nchini Kenya William Ruto, na
waziri wa usalama wa ndani Joseph Nkaissery, walikagua silaha hizo.Kisha silaha hizo 5,250 zilizomwagiwa mafuta, zikawashwa moto eneo la Ngong, viungani mwa mji wa Nairobi.Bwana Ruto alisema kuwa silaha hizo zilitwaliwa kwa muda wa miaka 9 iliyopita huku nyingine zilisalimishwa kwa hiara,
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment