
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutokea Tip Top Connection Madee Ally aka Madee, amewashangaa wadau na wasanii wa Tanzania, kuonelea ajabu ya Mdau na mwanamuziki mkubwa toka Nigeria Don Jaz kuimba wimbo wa Snura Chura, Kupitia katika AC yake ya Twitter Madee ame tweet haya
0 MAONI YAKO:
Post a Comment