Ni zao jipya katika tasnia ya muziki wa bongo fleva nchini, mwana dada anaitwa Sasha kutoka mkoani Morogoro, amekuja na wimbo wake mpya kabisa unaitwa Valentine. Wimbo umefanywa na producer Matajili Wille kutoka katika studio za Mahewa Records za mjini Morogoro
Video: Idd Aziz – Kiswahil
Unafahamu Kiswahili? Mwanamuziki mwenye vipaji vingi, Idd Aziz kutoka nchini Kenya ameachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Kiswahili.’ Ukihusu lugha adhimu ya Kiswahili, wimbo huu maridhawa umedhamiriwa kuw…Read More
Obama amuidhinisha Clinton kuwania urais Marekani
Rais wa Marekani Barack Obama
ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama
cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu
nchini Marekani.
Amechukua hatua hiyo muda…Read More
Kuna msanii mkubwa hakupenda mimi kujiunga na WCB – Rich Mavoko
Msanii mpya kutoka lebo ya WCB, Rich Mavoko amesema kuna msanii mkubwa bongo alimkataza kujiunga na WCB.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA
Radio, Rich Mavoko amesema kuna msanii mkubwa a…Read More
Birthday ya mwaka mmoja ya Tiffah kufanyika Mlimani City
Ana followers 623,049 Instagram, ni mtoto wa Diamond na Zari the
Bosslady, unahitaji nini zaidi kukubali kuwa Tiffah ni supastaa mtoto
kuliko wote Afrika?
Tayari mtoto huyo ana miezi 10 na hiyo ikimaanisha kuwa birt…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment