Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo hii Ijumaa ya 10 Febr 2017,amemteua kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya na kamishna mkuu wa uhamiaji.
Snura aachia video ya Chura Dance
Mkali wa muziki wa Bongo fleva mwana dada Snura Mushi, ameachia Video ya Chura Dance. Katika video hiyo ya snura inaonekana kufanyika sehemu moja zaidi ya ufukweni.
Itazame hapa chinik
&nb…Read More
Video ya Mafikizolo na Diamond, yamkwamisha Jaguar
Video mpya ya Mafikizolo waliyomshirikisha Diamond iitwayo COlors of Africa imekwamisha mpango wa mwanamuziki Jaguar kutoka nchini Kenya kuachia Video yake mpya.
Awali Msanii huyo likuwa Amepanga Kuach…Read More
Babu Bomba amemuandikia wimbo Papa Wemba
Hii ni kazi mpya kabisa kutoka kwa mpiga bass wa Malaika Band Babu Bomba, ikiwa ni maalum kwaajili ya kuomboleza kifo cha mwanamuziki gwiji Afrika Papa Wemba. Ndani ya wimbo huu, licha Babu Bomba (pichani) kusimama ka…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment