Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo hii Ijumaa ya 10 Febr 2017,amemteua kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya na kamishna mkuu wa uhamiaji.
Zanzibar yaomba msaada Iran
Zanzibar inataka kunufaika na uwezo wa kitaalamu wa Jamhuri ya Kiislamu
ya Iran. Hayo yamesemwa na Rais wa Zanzibar Ali Mohammad Shein wakati
alipokutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohamma…Read More
Shambulio la kwanza la Boko Haram huko Niger
Wanamgambo wa kitakfiri wa kundi la kigaidi la Boko Haram
wamekishambulia kijiji kimoja huko Niger. Gazeti la Le Figaro
linalochapishwa nchini Ufaransa limeripoti kuwa, watu walioshuhudia
wameeleza kuwa wan…Read More
Waasi wa Houthi wachukua serikali
Waasi wa Shia wametangaza kutwaa
uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais
na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais.
Wahouthi hao
walitangaza hayo katika mkutano wa siasa …Read More
Majonzi: Familia yateketea kwa moto DarWatu sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam
Janga hilo la moto limetokea jana saa 10:30 alfajiri katika …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment