Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo hii Ijumaa ya 10 Febr 2017,amemteua kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya na kamishna mkuu wa uhamiaji.
Madaraka Nyerere aujia juu wimbo wa Diamond
Baada ya malalamiko mengi toka kwa watanzania hasa watumiaji wa mtandao
wa twitter kuwa Diamond ametumia isivyo picha ya mwalimu katika cover la
wimbo wake mpya, mzee madaraka ameibuka na kusihi picha hiyo iondo…Read More
Maalim Seif: Nitailinda CUF kwa gharama yoyote ile
Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad mapema leo hii amezungumza na wana habari katika Hotel ya Ramada Encore Dar City Centre. Katika mkutano huo, Maalim Ameitu…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment