Kwa mara ya kwanza kabisa leo hii Jumapili ya 12 Febr 2017 Askofu wa kanisa la ufufua Askofu Gwajima akiongoza ibada ya jumapili tangu atajwe katika orodha ya wanaohusika na biashara ya madawa ya kulevya
Mechi ya Man U na Arsenal yaua 24 kwa shambulio
Watu 24 wameuawa mjini Baidoa
Kusini mwa Somalia wakitizama mechi baina ya Manchester United na
Arsenal baada ya shambulizi lililotekelezwa na Al Shabab.
Taarifa
za awali zinaeleza kuwa milipuko miwili miku…Read More
CCM yataka Maalim Seif akamatwe
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar
Wakati zikiwa zimebaki siku 21 kabla ya
kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa marudio visiwani Zanziba…Read More
Samson Siasia achaguliwa kuwa kocha mpya wa Super Eagles
Mchezaji wa zamani wa Nigeria Samson Siasia, amechaguliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa Super Eagles.
Shirikisho la kandanda la Nigeria NFF lilitoa tangazo hilo hapo jana baada kufanya mkutano na kamati ya benchi …Read More
Filamu yapigwa marufuku India
Mji wa kaskazini mwa India, Aligarh, umepiga marufuku filamu mpya ya wapenzi wa jinsia moja
Mji wa kaskazini
mwa India, Aligarh, umepiga marufuku filamu …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment