Huenda itachukua muda mrefu kuja kuona Diamond na Alikiba wakiwa kitu kimoja tena ama kuweka tofauti zao pembeni. Ni kwasababu licha ya Diamond kuonesha kuwa yuko tayari kuyaacha yaliyopita yapite, upande wa wa Alikiba umeonesha msimamo tofauti. Tazama video hiyo chini ufahamu kilichoendelea.
SOVELLA AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA MSHANGANO MAENDELEO ASIKILIZA KERO ZAO
ANA KWA ANA
-
Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Mshangano Benson Sovella akiwa anazungumza leo
tarehe 26 aprili 2026 mtaa wa Chandarua wakati wa ziara yake ya kuwashukuru
w...
3 minutes ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment