Huenda itachukua muda mrefu kuja kuona Diamond na Alikiba wakiwa kitu kimoja tena ama kuweka tofauti zao pembeni. Ni kwasababu licha ya Diamond kuonesha kuwa yuko tayari kuyaacha yaliyopita yapite, upande wa wa Alikiba umeonesha msimamo tofauti. Tazama video hiyo chini ufahamu kilichoendelea.
March 15, 2017
1:00 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
TBL kujenga kiwanda cha bia cha Sh 225bn mjini Dodoma. WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia-TBL, Bw. Roberto Jarrin ambaye ameahidi kuwa kampuni yake itajenga kiwanda kikubwa cha bia kitaka… Read More
Breaking News: Tundu Lissu Amjibu Vikali Spika Ndugai Munge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu aliyepo nchini Kenya kwa ajaili ya matibabu, amemjibu vikali spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai kufuatia kauli yake ya kutokwenda kumjulia hali. Tund… Read More
Ratiba mpya ligi kuu Tanzania bara Ligi Kuu ya Vodacom iliyosimama kupisha michuano ya Kombe la Chalenji inaendelea mwishoni mwa mwezi huu kwa mechi za raundi ya 12 zitakazochezwa kati ya Desemba 29 na 31 mwaka huu, na Januari mosi mwakani. … Read More
Hawa ndiyo wagombea wa Ubunge CCM kwa majimbo matatu Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwajulisha wanachama wa CCM na Umma wa watanzania kuwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, na kwa niaba ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) imefanya uteuzi wa mwisho kwa wan… Read More
Breaking News: Mkurugenzi Mkuu NHC Asimamishwa kazi Waziri wa Ardhinyumba na maendeleo ya makazi Mh. William Lukuvi ameagiza kusimamishwa kazi Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu kupisha uchunguzi … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment