Huenda itachukua muda mrefu kuja kuona Diamond na Alikiba wakiwa kitu kimoja tena ama kuweka tofauti zao pembeni. Ni kwasababu licha ya Diamond kuonesha kuwa yuko tayari kuyaacha yaliyopita yapite, upande wa wa Alikiba umeonesha msimamo tofauti. Tazama video hiyo chini ufahamu kilichoendelea.
SERIKALI YAWEZESHA KUANZISHWA KWA KITUO CHA KISASA CHA TEKNOLOJIA YA MADINI
MUHIMU NCHINI
-
● *Ni matokeo ya MoU kati ya GST na Taasisi ya KIGAM kutoka Korea ya
Kusini,*
*● Utekelezaji wa mradi huo kugharimu Bilioni 40 za Kitanzania*
*● Wataala...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment