March 26, 2017




 
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole, akzungumza na Waandshi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam leo. 
 

Uteuzi wa Makatibu wa CCM Mikoa...

1 Arusha - Elias Mpanda
2 Dar - Saad Kusilawe
3 Dodoma - Jamila Yusuf
4 Geita - Adam Ngalawa
5 Iringa - Christopher Magala
6. Kagera- Rahel Degeleke
7. Katavi- Kajoro Vyahoroka
8. Kigoma- Naomi Kapambala
9. Kilimanjaro- Jonathan Mabihya
10. Lindi-Mwanamasoud Pazi
11. Manyara -Paza Mwamlima
12. Mara -Innocent Nanzabar
13. Mbeya -Wilson Nkhambaku
14. Morogoro- Kulwa Milonge
15. Mtwara -Zacharia Mwansasu
16. Mwanza- Raymond Mwangala
17. Njombe- Hossea Mpagike
18. Pwani- Anastanzia Amasi
19. Rukwa- Loth Ole Nesere
20. Ruvuma- Amina Imbo
21. Shinyanga -Haula Kachambwa
22. Simiyu- Donald Etamya
23. Singida- Jimson Mhagama
24. Tabora- Janeth Kayanda
25. Tanga- Allan Kingazi.

"Makatibu wengi tuliowateua ni wapya, hatuwezi kufanya mageuzi ya kuwa na CCM mpya na upya huo usionekane. Mageuzi ni fikra...

'Kuhusu suala la Mkuu mkoa mkoa wa DSM, kwanza napenda kusema kuwa uhusiano wa CCM na vyombo vya habari ni wa kihistoria'...

CCM inapenda kufuata utaratibu na ndio salama yetu kama yupo kiongozi wa chama amefanya jambo tuna utaratibu mzuri wa kuchunguza'..

'Mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais na anapomteua anamteua yeye peke yake na halazimiki kushauriana na mtu'..

"  Humphrey Polepole
Katibu wa CCM itikadi na Uenezi -Taifa
26.3.2016

Related Posts:

  • Video mpya ya Linah hii hapa, inaitwa Nia yangu    Mwanamuziki Lina Sanga kutoka nchini Tanzania, ametuletea video yake mpya inayoitwa Nia yangu.  Hapa Linah anakupa fursa ya kuitazama video hiyo.            … Read More
  • New Audio| I do - Caleedy ft Braitz Anaitwa Caleedy, ni mwanamuziki chipukizi toka mkoani Morogoro, amekuletea wimbo wake unaoitwa I do. Caleedy katika wimbo huu amemshirikisha mkali wa wimbo wa Deka anayefahamika kwa jina la Braitz. wimbo umefanywa na Pro… Read More
  • Habari za magazetini leo hii January 8 2016Leo Ijumaa January 8, 2016 ni siku ya kihistoria kwa Tanzania kufuatia mshambuliaji wa timu ya Taifa Mbwana Ally Samatta kutw taji la mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza katika vilabu vya ndani ya Bara la Afrika.… Read More
  • Samatta, Aubameyang majogoo wa Afrika Pierre Emerick Aubameyang Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mmbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika.Huku tuzo ya m… Read More
  • Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa isipokuwa ...   Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa katika maeneo mbalimbali isipokuwa katika eneo la bonde la mto msimbazi ambalo linaanzia katika vilima vya pugu hadi daraja la salender jijini Dar es Salaam ambalo hata hivy… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE