Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
DKT. SAMIA APIGA KURA CHAMWINO
                      -
                    
Na Dotto Kwilasa, Dodoma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha 
Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu...
2 days ago
 










 10:25 AM
10:25 AM

 
 
 
 
0 MAONI YAKO:
Post a Comment