Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment