Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
SERIKALI YAZINDUA MPANGO WA KUKABILI MAAFA SUMBAWANGA
-
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na UNDP, imezindua
nyaraka tatu muhimu za usimamizi wa maafa katika Wilaya ya Sumbawanga,
mkoa...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment