Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
MILIONI 675 KUBORESHA HUDUMA ZA TIBA MANISPAA YA TABORA
-
Na OWM - TAMISEMI, Tabora
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe
amesema Serikali imetoa Shilingi Milioni 675 kutekele...
3 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment