Mawakili wawili maarufu nchini Peter Kibatala na Faraji Mangula, wamesema watahakikisha msanii Nay wamitego anapata dhamana ama anafikishwa Mahakamani. Katika ukurasa wake wa instagram Wakili Peter Kibatala ameandika na kuthibitisha kwamba wakili Faraji Mangula alifika Central na kuhakikisha Nay amefika tayari
RC SHINYANGA AIPONGEZA KISHAPU UPANDAJI MITI, ATOA WITO WA KULINDA MUUNGANO
-
Na Sumai Salum -Kishapu
Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga wamehimizwa kuendelea kuulinda na kuuenzi
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa misingi ya undugu, u...
6 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment