Ciara amenusurika kifo kwenye ajali ya gari iliyotokea Ijumaa hii mjini Los Angeles.Ajali hiyo imetokea wakati mrembo huyo alikuwa akiendesha gari lake aina ya Mercedes-Benz G-Wagen yenye rangi nyeupe ndipo aligongana na gari jingine aina ya Volvo SUV kwenye upande kiti cha abiria.Japo Ciara alidaiwa kuumia kifuani lakini kwa mujibu wa mumewe Russell Wilson kupitia mtandao wa Twitter amesema mama na mtoto wako salama.“Momma Wilson & Baby Wilson are feeling great! God is good! 


,” ameandika Russell kwenye mtandao huo.
ODERO AIKUBALI RIPOTI YA JAJI CHANDE ANENA MARIDHIANO YA KITAIFA
-
Mwanasiasa, Odero Charles Odero, ametoa ushauri kwa Serikali kutunga sheria
mahususi itakayosimamia mchakato wa maridhiano ya kitaifa ili kuhakikisha
kuna...
8 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment