Kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva, mwanamuziki Harmonize ametuletea video ya wimbo wake wa Niambie. Harmoniza anayetokea katika Lable ya Wasafi ameachia Video hiyo baada ya kufanya poa kwa Audio yake
Maharamia waziteka meli mbili za Iran
Kitengo cha Umoja wa Mataifa
kinachoshughulikia mihadarati na Uhalifu kimesema kuwa maharamia
wameteka meli mbili za Iran za kuvua samaki katika ufuo wa Somalia.
Utakeji huo ni wa kwanza kufaulu tangu mwaka …Read More
Raisi awasimamisha kazi 175 kwa ufisadiKenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yao
Mawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka
mamlakani katik…Read More
CCM wamuonya Nape kauli zake kwa Lowassa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) MKoani Arusha, Robson Meitinyiki,
amemtaka K…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment