Kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva, mwanamuziki Harmonize ametuletea video ya wimbo wake wa Niambie. Harmoniza anayetokea katika Lable ya Wasafi ameachia Video hiyo baada ya kufanya poa kwa Audio yake
CAF: Club kujigharamia Malazi
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
(CAF) limefanyia marekebisho kanuni zake za michuano ya ngazi ya klabu
kwa upande wa malazi ambapo sasa timu zitachagua na kujilipia zenyewe
hoteli zinapokuwa kwenye mechi za u…Read More
Official HD Music Video-Y-Tony ft Barnaba - Mama
Msanii wa
bongo fleva anaekuja kwa kasi katika soko la muziki wa bongo,mwenye hit
song ya masebene,ameachia video yake mpya aliyo mshirikisha Barnaba
nyimbo inaitwa Mama
Utengenezwaji wa video hii ulianza mwaka jana…Read More
Bangi halali kwa matibabu Jamaica
Baraza la mawaziri la Jamaica, limeidhinisha mswada ambao unahalalisha watu kumiliki kiwango kidogo cha Marijuana.
Ina
maana kwamba hii ni mara ya kwanza kwa jamii ya 'Warastafarian'
wanaotumia Bangi kwa sa…Read More
Unafikili ni kwanini wa Afrika wengi wanajichubua?
Mitindo ingekuwa na maendeleo kiasi gani bila uwepo utumwa na ukoloni?
Katika mfululizo wa Barua kutoka kwa
Waandishi wa habari wa Afrika, Mwandishi na Mtunzi wa Riwaya,Tricia
Nwaubani anaangazia mada ya kung'ar…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment