March 09, 2017

 

Shirika la umeme Tanzania(TANESCO) limetoa siku 14 kwa wadaiwa sugu kuhakikisha wanalipa madeni yao.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kaimu mkurugenzi wa Shirika hilo, Tito Mwinuka amesema mpaka sasa wanadai bilioni 275.

Amesema notisi hiyo ni kwa wateja wote wakubwa na wadogo na kwamba wasipolipa watakatiwa umeme ikiwamo shirika la Umeme Zanzibar(ZECO)


Chanzo Gaazeti Mwananchi

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE