Taarifa kutoka Ikulu Jijini Dar Es Salaam zinasema kuwa, Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi na kumteua mke wa Rais mstaafu wa Tanzania mama Salma Kikwete kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais.
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment