HATIMAYE Tundu Lissu, Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam baada ya kufutiwa mshitaka na kukamatwa tena leo asubuhi kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kidiniLissu alikamatwa akiwa ndani ya Mahakama ya Kisutu baada ya serikali kuwasilisha taarifa kuwa haina nia ya kuendelea na kesi iliyofungua hapo awali na kisha polisi kumpeleka kituo ch kati kwa mahojiano.Taarifa zilizopatikana leo jioni zinaeleza kuwa Lissu amehojiwa juu ya kauli yake aliyoitoa katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Dimani, Zanzibar miezi miwili iliyopita pale alipotamka kuwa “Uchaguzi w Zanzibar ulikuwa haramu kama muislam kula nyama ya nguruwe.”Mapema leo asubuhi baada ya kukamatwa Lissu alindika ujumbe ukisema, anaamini kukamatwa kwake kuna uhusiano wa moja kwa moja uchaguzi ujao wa Chama cha Mawakili hapa nchini (TLS), unaotarajia kufanyika wiki mbili zijazo.
Karibu katika Magazeti ya alhamisi 28, 2016
Tumekuwekea hapa magazeti ya Leo Alhamisi 28 January 2016, upate kupitia vichwa vya habari vilivyobeba uzito katika habari za leo.
Endelea kutembelea ubalozini.blogspot.com
…Read More
Kuhusu Bank ya NMB Kuvamiwa,ukweli wa tukio ni huu!!!!
Siku mbili zilizopita, kulisambaa na taarifa na kipande cha Video kikionesha kwamba, Bank ya NMB Tawi la Mbalizi jijini Mbeya , limevamiwa na majambazi na kuiba kiasi cha pesa na kisha majambazi hao kukamatwa na jeshi…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment