April 14, 2017

Image result for lwakatare 

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mama mchungaji Getrude Lwakatale ameteuliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum CCM , akichukua nafasi iliyoachwa wazi na mwana mama Sophia Simba baada ya kufukuzwa uanachama wa chama cha mapinduzi. Taarifa hii umethibitishwa na tume ya taifa ya uchaguzi 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE