Kufwatia ushindi alioupata Dayna Nyange wa kushinda tuzo mbili za BAE nchini Nigeria, taarifa zinasema Dayna ndiyo mwanamuziki wa kwanza kutoka Tanzania kushinda tuzo hizo, hapa Dayna amezizungumzia tuzo hizo na mpaka kufanikiwa kushinda kwake.
Official HD Music Video-Y-Tony ft Barnaba - Mama
Msanii wa
bongo fleva anaekuja kwa kasi katika soko la muziki wa bongo,mwenye hit
song ya masebene,ameachia video yake mpya aliyo mshirikisha Barnaba
nyimbo inaitwa Mama
Utengenezwaji wa video hii ulianza mwaka jana…Read More
Tunda man "Rais wa Tanzania ni Lowassa tu"
Mwana muziki toka katika kundi la Tip Top Connection la Manzese Tunda man, anasema kwa sasa Tanzania inahitaji kiongozi anayeweza kuendana na wakati wa sasa.
Akizungumza na Ubalozini.blogspot.co…Read More
Bangi halali kwa matibabu Jamaica
Baraza la mawaziri la Jamaica, limeidhinisha mswada ambao unahalalisha watu kumiliki kiwango kidogo cha Marijuana.
Ina
maana kwamba hii ni mara ya kwanza kwa jamii ya 'Warastafarian'
wanaotumia Bangi kwa sa…Read More
New audio- Tunaishi - Darasa ft Nay wa Mitego
Mabibi na mabwana itifaki hapa imezingatiwa, ile ngoma tuliyoisubilia kwa hamu kubwa sana tka kwa miamba miwili, Darasa na Nay wa Mitego inayoitwa Tunaishi ndiyo hii sasa
Bofya hapo chini Kusikiliza na ku D…Read More
WIFI ALIVYOTAKA KUKWAMISHA HARUSI YANGU
-
Jina langu ni Anna, nina watoto wawili na mume wangu lakini tulikuwa
tunaishi bila ndoa mwaka huu tukaamua kufunga ndoa ili tuendelee na vitu
vingine kim...
Serikali yaeleza mchango wa Sekta binafsi nchini
-
NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus
Nyongo, ametoa wito kwa...
The post Serikali yaeleza mchango wa Sekta binafsi nchi...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment