Muda huu, wasanii na wadau wamekusanyika katika studio za Tongwe Records kujadili mustakabali wao kisanaa na matukio yanayowakuta kwa sasa, lakini kubwa zaidi na mjadala wa kujua nini kimewapata na wapo wapi kwa sasa, wapo katika hali gani wenzao Roma mkatoliki na Moni ambao taarifa zimesambaa kuwa wametekwa na watu wasiojulikana wakiwa studio
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
4 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment