Mgombea Ubunge Lushoto afariki Dumia
Nimesoma kwa masikitiko na majonzi kuhusu ajali iliyompata kaka Mohamedi Mtoi aliyekuwa akiwania Ubunge katika jimbo la Lushoto kwa tiketi ya CHADEMA na mwavuli wa UKAWA.
Familia ya Mtoi
…Read More
[picha] Tamasha la "Wasanii wa Mabadiliko"
Msanii Mkoloni akiimba katika Tamasha la Wasanii wa Mabadiliko lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mtwara. Lengo la Tamasha hilo ni kuwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 25, 2015.
Wananchi waliojit…Read More
Kuhusu kuondoka UKAWA na kurudi CCM, unt Ezekiel afunguka
Ni stori inayoendelea kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi, sasa hapa nimepata Aunt Ezekiel ameelea sababu zilivyomfanya yeye kuhama UKAWA na kuhamia chama cha Mapin…Read More
Magazetini leo
Tumepita katika chumba cha habari cha TZA kilichopo jijini Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 15, 2015 na kukukusanyia Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya head…Read More
ZITTO: MAGUFULI hajawahi kukemea ufisadi
Akihojiwa na mtangazaji Tido Mhando katika kipindi cha mikikimikiki AZAM 2 TV leo asubuhi, Zitto ameshangazwa na hatua ya mgombea urais kupitia CCM kujipambanua kuuchukiaufisadi wakati kipindi chote cha mijadala ya ufisadi w…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment