Dunia nzima leo hii anahamia nchini Uingereza pale katika uwanja wa Wimbley kushuhudia mpambano wa ngumi za uzito wa Juu Duniani mpambanjo unaowakutanisha mabingwa Anthony Joshua vs Wladimir Klitschko
Brand New Vide: Chovya - Dayna Nyange
Baada ya kukaa kimya kwa takliban mwaka mmoja bila kuachia wimbo, mwanamuziki Dayna Nyange ametuletea video ya wimbo wake mpya kabisa unaitwa Chovya. Katika Video hiyo Dayna Nyange pia ameonekana mdogo wa mwanamu…Read More
Odinga kuwasilisha kesi kupinga ushindi wa Kenyatta leo
Muungano wa upinzani nchini Kenya National Super Alliance leo unatarajiwa kuwasilisha kesi ya kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti.
Mawakili wa muungano huo wanataraji…Read More
TIB Corporate Bank katika jukwaa la biashara Tanga
Benki ya TIB
Corporate imeweza kushiriki jukwaa la biashara lililofanyika kwenye
ukumbi wa Hotel ya Regal Naivera Jijini Tanga ambapo kutoa fursa za
namna ya benki hiyo inavyoendesha shughuli zake hapa nchini.
Wakiele…Read More
Taarifa Rasmi ya CUF kuhusu mashauri yaliyopo Mahakamani
(CUF–Chama Cha Wananchi)
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Mbele ya Mheshimiwa Jaji Wilfred Ndyansobera leo Ijumaa Tarehe
18/8/2017 kulikuwa na shauri moja lililokuwa linaendelea kusikilizwa
ikiwa ni muendelezo …Read More
Unamfahamu Unju bin Hunuk
Kwa wale wapenzi na mashabiki wa mwana Hip Hop Niki Mbishi, jina la Unju bin Hunuk kwao halitakuwa geni kabisa kwani Niki hupenda sana kumtaja huyu bwana.Unju bin Unuq pia wengine humwita Unju bin Unuku ama Unzi Bin Ununuk…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment