Dunia nzima leo hii anahamia nchini Uingereza pale katika uwanja wa Wimbley kushuhudia mpambano wa ngumi za uzito wa Juu Duniani mpambanjo unaowakutanisha mabingwa Anthony Joshua vs Wladimir Klitschko
BASATA WAMVURUGA SNURA, KUFUATIA KUFUNGIWA KWA VIDEO YAKE
“Ni video ya kawaida kabisa na
nimeicheza mwenyewe na wacheza shoo wangu.Nilifanya hivyo baada ya video
yangu ya ‘Majanga’ kulalamikiwa kuwa
sikucheza.
Imeniuma sana video ya "Nimevurugwa"
kufungiwa na BASAT…Read More
BOSS WA CLOUDS MEDIA AKUTANA NA WYCLEF JEAN
Managing director wa Clouds Media Group Joseph Kusaga ambae yupo Abu
Dhabi kushughulikia mipango ya mwishomwisho kabla ya Clouds TV
International kuanza kurusha matangazo yake kwenye nchi za kiarabu,
alipata nafasi ya …Read More
WEMA AFUNGUKA BAADA YA STORY YA KUNYANG'ANYWA BWANA
Wiki kadhaa zimepita sasa tangu kutangazwa kuwa Madam Wema Sepetu kanyang’anywa kila kitu na mtu anaesemekana kuwa alikua mpenzi wake ambae kwa maelezo inasemekana yeye ndiye aliyenunua vitu hivyo,baada ya …Read More
MWIGIZAJI MAINDA HOI HOSPITALINI
Msanii wa Filamu Bongo,Ruth Suka
'Mainda', akiwa Hospitali na mmoja wa wauguzi wa hospitali hiyo ambayo
jina lake hakutaka kulitaja mara moja.
SOMA UJUMBE ALIOUANDIKA KWA MKONO WAKE HAPO CHINI...
maindasmallbabyTr…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment