Dunia nzima leo hii anahamia nchini Uingereza pale katika uwanja wa Wimbley kushuhudia mpambano wa ngumi za uzito wa Juu Duniani mpambanjo unaowakutanisha mabingwa Anthony Joshua vs Wladimir Klitschko
FIESTA 2017, Mji Mkuu wa Tanzania Dododma ni nomaa
Tamasha la Tigo Fiesta 2017 ndilo linaloendelea kila kona ya Tanzania na linazidi kuchukua sura mpya katika miji linapopita. Baada ya kutokea miji ya Tanga na Moshi, sasa tamasha hilo limetia timu na kuwaburudisha w…Read More
M 2 The P awachana wasanii wa kiki
Msanii wa muziki Bongo, M2 The P amewatolewa uvivu wasanii wanaondekeza kiki hadi kusahau kufanya muziki wao.M2 The P ameseme iwapo msanii anafanya hivyo awe na kazi nzuri zinazoeleweka na siyo kiki tu wakati hata kazi za…Read More
Sikupata barua yoyote kutoka CCM ya kunifukuza – Mh. Nyalandu
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa
hajawahi kupata barua yoyote kutoka CCM inayomfukuza unanacha kama
inavyodaiwa.
Mh. Nyalandu ameiambia Bongo5 leo, kuwa ndani ya
chama hicho huwa …Read More
Nay wamitego aitabilia kifo Bongo Fleva
Msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa ndani ya miaka miwili au
mitatu inayokuja anaona wazi muziki wa bongo fleva unakwenda kufa kama
ambavyo tasnia ya filamu bongo ilivyokufa kwa kile anachodai wasan…Read More
Mini Power Roulette ni ushindi
-
Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu
Zaidi, kupitia sloti...
The post Mini Power Roulette ni ushindi first appeared ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment