
Leo Siada Karoli anaandika Historia nyingine nchini baada ya kupotea kwa muda sana Game. Saida sasa anaamka tena. Hapa tunezipata Picha za kile kinachoendelea pale Escape One


Waziri Mwakyembe ndani ya Nyumba

Gadna G, Akilisongesha Jahzai

Tulioumia ni sisi mashabiki wako tulioikumbuka sauti yako tunaimani utabaki na sisi Malkia Saida. #TheRiseTheFallandTheRiseAgain

0 MAONI YAKO:
Post a Comment