“Nakupa pole sana Dkt. Mwakyembe kwa kuondokewa na mkeo mpendwa Bi. Linah, natambua hisia za maumivu ulizonazo wewe na familia nzima, nyote nawaombea Mwenyezi Mungu awatie nguvu, awape subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. Namuombea Marehemu Linah George Mwakyembe apumzishwe mahali pema peponi, Amina”, amesema Mhe. Rais Magufuli.
TARURA YATOA MAFUNZO KWA KAMATI ZA KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO MRADI WA RISE
-
Handeni, Tanga
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo kwa
wajumbe wa kamati za kushughulikia malalamiko kupitia mradi wa RISE k...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment