Baada ya kukaa kimya kwa takliban mwaka mmoja bila kuachia wimbo, mwanamuziki Dayna Nyange ametuletea video ya wimbo wake mpya kabisa unaitwa Chovya. Katika Video hiyo Dayna Nyange pia ameonekana mdogo wa mwanamuziki wa Marekani Drake
VIJANA WA UVCCM MKOA WA SHINYANGA WATAKIWA KUIMARISHA UMOJA NA USHIRIKIANO
ILI KUJENGA CHAMA IMARA
-
*Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Shinyanga, Benard Werema akiwa katika picha ya
pamoja na vijana wenzake*
*Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa...
11 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment