Baada ya kukaa kimya kwa takliban mwaka mmoja bila kuachia wimbo, mwanamuziki Dayna Nyange ametuletea video ya wimbo wake mpya kabisa unaitwa Chovya. Katika Video hiyo Dayna Nyange pia ameonekana mdogo wa mwanamuziki wa Marekani Drake
August 19, 2017
11:54 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Idris Sultan awalipua wanaomkosoa mtandaoni Mchekeshaji … Read More
Baba ubaya amekuletea Video hii ya Wameni Miss akiwa na T I D Unamkumbuka Baba Ubaya?? Ulimiss? amekaa nje ya game kwa muda mrefu sana, sasa amekuletea video ya wimbo wake huu akiwa na T I D Mnyama &nb… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro aamuru kukamatwa kwa wachina kwa kuendesha mgodi kinyume MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Steven Kebwe ameagiza kukamatwa kwa watu watatu wakiwamo raia wawili wa China kwa kuendesha mgodi wa mawe ya kutengenezea marumaru kinyume na sheria. Aidha… Read More
Diamond ashikwa uchawi. akutwa na Fuvu ofisini Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ akiwa ofisini picha ndogo kulia kukiwa na fuvu katika ofisini kwake. Sifael Paul na Musa Mateja, Risasi Jumamosi Dar es Salaam: Wakati mwenyewe akikanusha… Read More
Rais Magufuli Awataka Mawaziri Wajiandae Kwa Machungu......Asema Wasioweza Kazi Bila Posho au Safari Wajiondoe Wenyewe Viongozi serikalini wakiwemo mawaziri na makatibu wakuu, wameombwa na Rais John Magufuli, kuvumilia machungu wakati wa uongozi wake, kama ambavyo wananchi walivyovumilia tangu Uhuru. Amesema hayo jana wak… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment