Mambo vp mpenzi wa ubalozini.blogspot. Tunakuletea wimbo mpya kabisa uliowakutanisha wanamuziki Rihanna na Sal Houdini wakikwambia I just. Video ya wimbo huo tumekuwekea hapa chini, fanya ku bofya play kwa ajili ya kuitazama
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya March 18
Habari ndugu mpenzi. Karibu katika magazeti yetu ya leo Ijumaa 18 March 2o16. Tumekukusanyia magazeti yenye uzito katika habari zake za kukupa fursa ya kupitia japo kwa vichwa vya habari zake kama ifuatavyo,…Read More
Diamond Platnumz akanusha kumpima Tiffah DNA,asema haya
Bongo fleva super staa Diamond Platnumz amekanusha taarifa za kwenye
mitandao kwamba amempima mtoto wake Tiffah vinasaba ‘DNA’ ili kupata
uthibitisho wa kuwa ni mwanawe au sio mwanae.
Akizungumza katika kipindi cha Ene…Read More
Kiwanda Cha Rhino Cement Cha Tanga Chafungiwa
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mh.
Luhaga Mpina (MB) amekifungia kiwanda cha kuzalisha cement na chokaa
kilichopo jijini Tanga cha Rhino Cement, jana
jioni kutokana na kile kinach…Read More
TASAF KUBORESHA ZAIDI AJIRA ZA MUDA MFUPI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Shadrack Mziray
amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira
za ...
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment