August 31, 2017



Mpaka sasa, mchuano mkali unaendelea katika mtandao wa youtube. Video za miamba miwili ya mziki wa Bongo Fleva Diamonda na Alikiba, wameonekana kutoana jasho baaa ya kuzidi kpigania nafasi ya kwanza katika chati ya Youtube. Alikiba alianza kuishika nafasi hiyo baada ya kuachia video ya Seduce ME, lakini baadaye Diamond akapanda katika nafasi hiyo na kumpiku Alikiba. Kwa sasa Imeonekana Kiba amerudi kwenye namba moja 

Related Posts:

  • 36 wafariki BangladeshiMvua ya dhoruba kali iliyotokea katika mji wa Dhakanchini Bangladeshi imewauwa watu wapatao 36 na kuwajeruhi watu zaidi ya 200.  Mwandishi wa gazeti la local Prothom Alo ametangaza… Read More
  • Magazeti ya leo April 5/2015 haya hapaIkiwa Leo April 5 2015, wakristu ulimwenguni kote, wanasherehekea kufufuka kwa Yesu Kristu tukimaanisha siku kuu ya Pasaka. Hapa tunakupa fursa ya kupitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo. Ubalozini.blogspo… Read More
  • Suma Lee aacha muziki Msanii aliyefanya vizuri na single ya ‘Hakunaga’, Suma Lee amesema hatofanya tena muziki kwa sababu ameachana kabisa na maisha hayo. Suma ambaye alitengeneza pesa nyingi kupitia hit yake ya ‘Hakunaga’… Read More
  • ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti Dar es Salaam.Chama cha ACT- Tanzania, kimesema hakina muda wa kufanya siasa za chuki na malumbamo dhidi ya vyama vingine vya siasa, badala yake kinajipanga vizuri na kuandaa mazingira ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao… Read More
  • Kenyatta atangaza siku tatu za maombolezo Kenya Rais Uhuru Kenyatta Wa Kenya ametangaza siku 3 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Chuo Kikuu cha Garissa lililoua karibu watu 150. Akilihutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE